KANUNI YA UCHUMI (BAJETI) YA 50%-30% NA 20%
Kuna kanuni nyingi sana zinazojaribu kuelezea matumizi mazuri ya pesa (kipato). Hata hivyo kanuni ya 50-30-20 ni ya kipekee sana. Umaarufu wa kanuni hii huenda umeongezeka kwa kasi sana siku za hivi karibuni na huenda ikachangiwa Zaidi na ugumu wa kipato na umuhimu wa kutunza akiba. Ikumbukwe kuwa hii kanuni hii inahusika Zaidi na kiasi …



